04
Aug
Miongoni mwa wageni waliofika katika banda la SUA ni Makamu Mkuu wa Chuo Profesa Raphael Chibunda, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo (Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaalam) Profesa Maulid Mwatawala na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma Mwasa.